Friday, November 12, 2010

WATOTO WENYE AMANI NA MATUMAINI WANAKUAMBIA HIVII

Hapa nadhani ujumbe unajitosheleza. Lakini ukiwa na Yesu hili kwako halipo kabisa na wala halitakugusa. Kama tayari ugonjwa huu umeshakutembelea usiwe na wasiwasi  kwani yeye anao uwezo wa kuponya kama aliweza kushinda kifo na mauti magonjwa ni jambo dogo sana kwake kinachohitajika hapa ni Imani yako tu umwamini kuwa anaweza naye atatenda. Ukisoma katika Biblia kazi kubwa aliyoifanya Yesu alipokuwa hapa duniani ni uponyaji kwa hiyo mpokee leo kuwa Bwana na Mwokozi ndani ya maisha yako naye atakushindia vita hivi vya magonjwa.