Wednesday, November 17, 2010

SIKU YA WAMAMA LIVING WATER CENTER KAWE NO. 2

Madhabahuni siku hiyo palionekana hivi.

Mtumishi wa Mungu Mama Lilian Ndegi akiwa na msaidizi wake Anna wakifanya maombi kabla ya kupanda jukwaani kutoa Neno.

Ilikuwa ni siku njema sana watu walizama kabisa kwenye maombi

Maombezi yalifanyika siku hiyo watu wengi walifunguliwa kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Wamama wakiwa wamezama kwenye maombi siku hiyo.
Mpakwa mafuta wa Bwana akiwa kwenye maombi.
Mlangoni pa kuingilia palionekana hivi siku hiyo.