Monday, November 22, 2010

TUKIWA NA YESU TUNAYAWEZA YOTE

Bwana wetu Yesu Kristo anatuambia hivii,

Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa baba ila kwa njia ya mimi.

Pia Yesu anaendelea kusema hivii,

Amin, amin nawaambieni, Yeye aniaminie mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya, naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa baba. Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili baba atukuzwe ndani ya mwana.

Tutafakari mistari hii je Bwana Yesu alikuwa na maana gani alivyokuwa anasema maneno haya? Je unaamini kuwa bila Yesu hautaweza kuuona ufalme wa Mungu? Basi sasa kama bado haujampokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi ndani ya maisha yako tafakari kwa makini kuhusu mstari huu. Mpokee leo naye atabadili hali ya maisha unayoishi sasa na utapata burudiko la moyo na furaha ya kweli kwani yeye ndiye njia pekee ya wewe kuweza kumwona Bwana.

Je unajua kuwa ukimwamini Yesu na kazi alizozifanya angali hapa duniani na wewe waweza kufanya kama yeye na kubwa kuliko alizozifanya Yesu?  Cha msingi ni wewe tu kumwamini na kuamini kuwa Yesu ni Bwana, na ya kuwa miujiza aliyoitenda na wewe waweza kuifanya. Kwa maana aliyeko ndani yako baada ya kumpokee na kumwamini ana nguvu na ni mkubwa kuliko hayo mapepo, magonjwa nk. Yesu aliweza kumfufua Lazaro aliyekaa kaburini siku nne basi hakika na wewe waweza kufufua. Yesu aliponya vipofu, viziwi na wewe utaweza kuwaponya watu pia anasema na mengine makubwa zaidi yake utaweza kufanya, unachotakiwa ni kumwamini tuuuu.
Anaongeza kusema pia ukiomba lolote kwa jina lake atafanya? haijalishi ni kitu gani unachoomba mradi uombe kwa jina lake Yesu hakika atakutendea, iwe ni amani, furaha, ndoa, watoto, kazi, fedha, na mengineyo mengi atakupa bila hiyana. Tumwamini yeye na tuyashike maagizo yake basi naye atatutendea na pia kwa nguvu ya uweza wake tutafanya mambo makubwa hata yale ambayo kwa akili zetu za kibinadamu yasingewezekana kutendeka na kwa sababu ameahidi na hakika atatenda.

Roho Mtakatifu atuwezesha na atufafanulie kwa hekima yake maneno haya ya Bwana wetu Yesu Kristo na pia yawe ni chachu na nguzo ya kutusogeza karibu na baba na kutuwezesha kuamini.
Barikiwa mpendwa.

BLESSED TO BE A BLESSING

Dear Friend,
As our loving heavenly Father, it is God's utmost wish for us to prosper and be blessed in all areas of our lives. (3 John 1:2, KJV) Today, I want you to know that God wants to abundantly supply every need in your life and bless you out of the largeness of His heart. He wants you to experience His abundance far above anything you could ask or imagine!
Jesus came to give us a new life — a life worth living — one in which we are blessed as His children for a divine purpose. I want to encourage you to start looking at His blessings on your life in a whole new way: seeing that you are blessed to be a blessing!
Deuteronomy 8:18 says, "And you shall remember the LORD your God, for it is He who gives you power to get wealth, that He may establish His covenant. . ." It is God who gives us the power to prosper, and just like Abraham, we are blessed to be a blessing. (Genesis 12:2)
When we are abundantly blessed by God, we will have enough to give to those in need. Also, people will see His awesome goodness in our lives and turn to Him.
Are you ready to dive in and experience it for yourself?
Now, you may be thinking, "I would love to give to others and be a blessing, but I just don't have anything to offer. How can I overcome lack so that I can bless others?" I understand that in difficult times, especially times of economic stress, it's natural for many people to look at what they have and say, "I'm not blessed! I have nothing to offer!"
But listen, beloved, God's Word says that you can enjoy His abundance in your life and be a powerful blessing to others. Your situation may seem impossible in the natural, but God can supernaturally work in your life and your finances. You are immensely favored and greatly loved by your heavenly Father, who has provided everything you could possibly need through the complete work of Jesus.
Beloved, I want to encourage you to make a decision today to receive God's supply and abundance in your life. If you want true prosperity that covers every area of your life, let me show you God's way according to His Word. Listen to the word of grace, read the word of grace, share the word of grace, but above all, walk in the truth of the word of grace and watch your soul prosper. Then, get ready because God will do incredible things through you to bless the lives of others!
Blessed to be a blessing,

ASK IN JESUS NAME AND RECEIVE



John 16:23
23“… Most assuredly, I say to you, whatever you ask the Father in My name He will give you.

Do you always end your prayers with “in Jesus’ name”? Maybe your Sunday school teacher taught you to do this, or maybe you have heard church leaders and other believers utter it at the end of their prayers.

I used to say “in Jesus’ name” very quickly as if those were magic words that would get my prayers answered. Then, one day, I heard the Lord asking me why I was doing that.

The Lord wanted me to realize that whenever I pray and say “in Jesus’ name”, I am putting my entire faith for my prayer to be answered not in who I am or what I have done, but in the person and name of our Lord and Savior Jesus Christ, and what He has done at the cross!

Whenever we ask God for anything in Jesus’ name, Jesus says to us, “Most assuredly, I say to you, whatever you ask the Father in My name, He will give you.” This means that in your prayer for healing, when you say “in Jesus’ name”, healing comes over your sick body because it is by His stripes that you are healed. (1 Peter 2:24) In your prayer for protection, when you say “in Jesus’ name”, you are kept safe because the blood of Jesus protects and delivers you from evil. (Exodus 12:13)

Beloved, the good name of your family cannot save you. Your pastor’s name cannot save you. Even the name of the latest medical breakthrough cannot save you. Only one name under heaven can save you — Jesus! And the good news is that His name in Hebrew, Yeshua, means salvation — healing, preservation, wholeness, wellness, provision, prosperity, safety and deliverance for you and your family!

So these days, whenever I pray, I slow down at the end of my prayer and say, “Father, I ask all this not based on what I have or have not done, but based on Jesus and His finished work at the cross. I ask all this in Jesus’ name. Amen!”