Monday, September 27, 2010

MWALIKO MWALIKO NO. 6 (SAFARI YA KUTEMBELEA NCHI YA ISRAEL)

Living Water Center Makuti Kawe inawakaribisha wale wote wanaopenda kwenda kutembelea nchi ya Israel mwakani wakati wa pasaka. Safari itakuwa ni ya siku tisa(9) siku mbili za safari siku saba za kutembelea nchi Teule ya Bwana. Gharama ni $ 2700 hii ni nauli ya kutokea Dar es Salaam kwenda Israel na kurudi na gharama za kuishi kule kwa muda wote wa siku saba. Wote mnakaribishwa.

Bendera ya Israel

Sehemu Teule Israel

Uwapo kwenye maombi usisahau kuiombea nchi hii ya Israel kwani Bwana Mungu asema hivii...
"yeyote atakayeibariki Israel atabarikiwa na atakayeilaani atalaaniwa" (tafakari)

No comments: