Friday, October 29, 2010

Utukufu ni kwa Bwana

Soma hii itakutia moyo.

Am I welcome at your office?


I am leaving   Loveness's office now and I have left blessings, am I welcome in yours?
Receive me with love and send me to other offices/ houses so I can bless them.
Have a blessed day.
I am at the door, I knock. If someone hears my voice and opens the door, I will come in and eat with them at their table. Now He is walking to your house. Let Him bless you and send Him to someone else's house

Yesu anabisha mlango jamani tumfungulie aingie ndani ya maisha yetu abadili kila jambo atusafishe kwa damu yake tuwe safi na tuweze kuishi maisha ya furaha na amani siku zote za maisha yetu kwani bila yeye ufalme wa mbinguni hatuwezi kuuona. Katika Yohana 10:9 atatuambia hivi, MIMI NDIMI MLANGO MTU AKIINGIA KWA MIMI ATAOKOKA ATAINGIA NA KUTOKA NAYE ATAPATA MALISHO. Na pia Kwenye Yohana 14:6 anasema MIMI NDIMI NJIA NA KWELI NA UZIMA, MTU HAJI KWA BABA ILA KWA NJIA YA MIMI.
Yuko mlangoni mfungulie aingine afanye badiliko la kweli ndani ya maisha yako, usifanye shingo yako kuwa ngumu mwache atende mpokee awe Bwana na Mokozi wa maisha yako nawe hautajuta hata siku moja.

Asante sana Loveness kwa kunitumia, Mungu akubariki mpendwa.

No comments: