Saturday, October 16, 2010

WAMEJAA TUMAINI NA WANAAMANI No. 3

Wanafuraha ya ajabu hawana mawazo wanaamani haijalishi hali ngumu kiasi gani ya maisha wanapitia burudani lazima iwepo. Tuweni kama watoto wadogo jamani hata biblia yetu inatuambia.


No comments: