Friday, January 21, 2011

KUBALI KUWA MLAWI

The Brooklyn Tabernacle Choir is currently accepting applications for membership. If you are interested, and are a member or in the process of becoming one, please apply online at:www.brooklyntabernacle.org/choirapp


The Brooklyn Tabernacle Music Staff

Haya kwa wale wenye karama ya kuimba au kama unajijua unayo sauti kama chiriku au hata ya kumtoa nyoka pangoni jiunge basi kuwa member wa Brooklyn Tabernacle Choir ukamwimbie Bwana maana kwenye sifa Mungu huwapo kwani yeye anapenda nyimbo za sifa na shukrani kuliko kitu kiwayo chote naye hushuka nakuja kuweka makao hivyo hima jiandikishe tumwimbie Bwana Sifa (kubali kuwa Mlawi) Soma 2 M/ Nyakati 5: 11-14

No comments: