Tuesday, September 28, 2010

JE WAJUA? NO. 1

Biblia imetuambia hiviii.
"YEYE ARUDISHAYE MABAYA BADALA YA MEMA, MABAYA HAYATAONDOKA NYUMBANI MWAKE."

Hivyo ndugu usishangae kuona nyumbani mwako mambo yanaenda kombo kila wakati hebu jihoji kuhusiana na hili jaribu kutengeneza ulipokosea na Mungu wangu aliye hai atakuweka huru tena.
JIBU:    USHINDE UBAYA KWA WEMA.

No comments: