Tuesday, September 28, 2010

WAMEJAA TUMAINI NA WANAAMANI

Bwana Yesu akasema "WAACHENI WATOTO WAGODO WAJE KWANGU MSIWAZUIE KWA MAANA WATOTO KAMA HAWA UFALME WA MBINGUNI NI WAO" Yesu alikuwa na maana gani? (tafakari)

Bado wamejaa tumaini wanaamani ya kweli kutoka ndani ya moyo ingawa
ni watoto yatima na baadhi wamepoteza wazazi wao either wote 2 au mmoja.
tuzidi kuonyesha upendo kwao na kwa watoto wengine tusiwasahau katika maombi yetu.

No comments: