Thursday, September 23, 2010

NENO KUTOKA KWA MAMA LILIAN NDEGI

LIVING WATER CENTRE - MAKUTI KAWE


Ibada ya Jumapili: 12/09/2010 -: Maisha ya Kuongozwa na Roho Mtakatifu
Fuatilia Mfululizo wa somo hili kwenye Website ya Kanisa.

...Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kutupa Waamini sisi tulio mwamini, Kiongozi ambaye wakati wote nia yake ni kutufikisha katika burudiko la kweli. Sisi tukiwa kama binadamu, tumeumbiwa kuongozwa na utawala fulani katika maisha yetu. Katika hali yoyote, binadamu lazima aongozwe na utawala mmoja kati ya Utawala wa Giza uliotawaliwa na Dhambi na Mauti, au Utawala wa Nuru, uliotawaliwa na Uzima wa Milele na Bududiko la kweli katika Kristo Yesu. Utawala wa Nuru, ni utawala wa Roho Mtakatifu ndani ya Maisha ya Mwamini. Utawala wa Roho Mtakatifu, wakati wote ni utawala wa faida, ni utawala uliojaa Upendo usio kifani, na gharama yake hailinganishwi na kitu chochote, kiwe Fedha, Dhahabu n.k. Ni utawala wenye ukamilifu katika kila idara ..
Fuatilia Somo letu la jumapili iliopita, lenye kichwa cha Somo "Maisha ya kuongozwa na Roho Mtakatifu" kama lilivyoletwa kwetu na Mtumishi wa Mungu Mama Lilian Ndegi.

RATIBA NA MATUKIO MUHIMU YA LIVING WATER CENTRE MINISTRY
Tarehe: 26/09/2010
Muda kuanzia: Saa Tatu na Nusu Asubuhi
Tukio : Ibada ya Neno na Kusifu
Mahali : Kanisani, Living Water Centre - Kawe >>ratiba zaidi >>
Pia, muda si mrefu tutapatikana katika Facebook na Twitter

No comments: