Monday, November 8, 2010

Uzao niliobarikiwa na Bwana. No 2


Huyu ndiye Joe first born wangu siku ya visiting day mwezi uliopita 23 hapa akiteta na mama. Lazima mausia yawepo niliongea weeeee mpaka basi. Asante Mungu kwa kunikuzia kijana.


 Aliyevaa black tshirt ndiye no 2 kijana Tee anakwambia peace akiwa na sisteri wao Nicole. Hilo pozi la Nicole kama model vile itabidi nimwandikishe kwa Tyra Banks kwenye American next top model.

Junior, Tee na Nicole
Jua lilikuwa limewachomaa wanagu masikini wakawa weusi na naona walikuwa na njaa hao hakuna aliyekuwa anaongea na mwenzake hapa.

Junior kamdomo kanameremeta ungefuta mdomo mwanangu ungetoka chicha mzee wa mapozi

Asante kwa wote mliofika kumwoka kijana Joe mbarikiwe na Bwana.

No comments: