Monday, November 8, 2010

NENO LA UZIMA (TUTAFAKARI NJIA ZETU)

BWANA WA MAJESHI ASEMA HIVI,

Zitafakarini njia zenu. Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo, mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji, mnajivika nguo lakini hapana aonae moto; na yeye apatae mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka toboka.

No comments: